Msanii wa vichekesho anaejulikana kwa jina la Stan Bakora ameamua kuifanyia video nyimbo ya msanii Raymond kutoka label ya WCB wasafi ambayo inasimamiwa na mwanamuziki Diamond Platnumz.
Nyimbo hiyo imeachiwa takriban wiki mbili zilizopita. Msanii Stan Bakora hii si mara yake ya kwanza kufanya hivyo, ilitokea hivyo pia kwenye nyimbo ya SIZONJE ya Mrisho Mpoto.
Itazame hapa hiyo video ya NATAFUTA KIKI
Tuesday, June 7, 2016
(VIDEO) MCHEKESHAJI STAN BAKORA KAIFANYIA VIDEO NYIMBO YA NATAFUTA KIKI YA RAYMOND (Rayvanny) WA WCB! NIMEKUSOGEZEA HAPA!
(VIDEO) MCHEKESHAJI STAN BAKORA KAIFANYIA VIDEO NYIMBO YA NATAFUTA KIKI YA RAYMOND (Rayvanny) WA WCB! NIMEKUSOGEZEA HAPA!
Reviewed by Unknown
on
7:28 AM
Rating: 5
Reviewed by Unknown
on
7:28 AM
Rating: 5
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment